Kolonia Santita: Laana Ya Panthera Tigrisi - Enock Maregesi - Bøker - AuthorHouseUK - 9781477222959 - 12. september 2012
Ved uoverensstemmelse mellom cover og tittel gjelder tittel

Kolonia Santita: Laana Ya Panthera Tigrisi Swahili edition

Pris
NOK 329

Bestillingsvarer

Forventes levert 23. des - 1. jan 2026
Julegaver kan byttes frem til 31. januar
Legg til iMusic ønskeliste
eller

Finnes også som:

Kolonia Santita: Laana Ya Panthera Tigrisi ni hadithi ya kusisimua ya kijasusi na madawa ya kulevya iliyoandikwa na Enock Abiud Maregesi. Inazungumzia vita kati ya Tume ya Dunia ya Umoja wa Mataifa, ya kudhibiti madawa ya kulevya na ugaidi wa kimataifa, World Drugs Enforcement Commission (WODEC) au Tume ya Dunia; na shirika kubwa la madawa ya kulevya la Kolonia Santita (CS-14) la Kolombia na Meksiko. Inaelezea, kwa kinagaubaga, jitihada za pamoja kati ya Tume ya Dunia, Marekani na Meksiko za kuwasaka na hatimaye kuwatia nguvuni viongozi nduli wa CS-14; na kuzuia shehena (kubwa) ya madawa ya kulevya na malighafi ya nyukilia: kwenda Afrika, Asia, Amerika, Ulaya - na kung'oa mizizi ya shirika la CS-14, lote, katika nchi za Hemisifi a ya Magharibi - na duniani kwa jumla. Hiki ni kitabu cha kwanza cha aina yake cha kimataifa katika Tanzania. Lengo lake si tu kukata kiu ya wapenzi wa riwaya za kipelelezi na kufufua mwamko wa usomaji wa vitabu; ni kuleta, hali kadhalika, ufahamu na burudani ya kimataifa kwa Watanzania, Wakenya na Waganda - na jamii nzima ya Afrika ya Mashariki inayozungumza Kiswahili - na walowezi wa jamii yote ya Kiswahili duniani.

Media Bøker     Pocketbok   (Bok med mykt omslag og limt rygg)
Utgitt 12. september 2012
ISBN13 9781477222959
Utgivere AuthorHouseUK
Antall sider 406
Mål 26 × 152 × 229 mm   ·   594 g
Språk Swahili